Kutoka
kushoto ni Mkurugenzi mtendaji wa Kasole Secrets Hyasintha Ntuyeko
ambao pia ni watengenezaji wa Pads za Glory, Katikati ni Mlezi wa
wanafunzi Hilda Minja na Sara Mugele ambaye ni Dean of students Shule
ya Sekondari ya St. Anthony.
Daktari
Edna Kiogwe akieleza juu ya umuhimu wa elimu ya Hedhi kwa jamii nzima
wakati wa semina na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya St. Anthony.
Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya St. Anthony wakiwa wanafuatilia kwa makini Semina hiyo.
Baadhi
ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya St. Anthony wakifurahia Pads za
Glory walizopewa ikiwa ni ishara ya kusherehekea sikukuu ya Hedhi
Duniani.
Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya St.Anthony wakifurahia zawadi za Glory Pads baada ya Semina.
0 comments:
Post a Comment