Walimu wa shule zote nne nufaika na umoja wa wanafunzi wa udaktari Moshi, wakabidhiwa zawadi za heshima kwa mchango wao mkubwa katika kufanikisha program ya hedhi salama
Wanafunzi waliofaulu vizuri sana na kushika nafasi ya kwanza katika mtihani wa hedhi salama na ukuaji walizawadiwa mabegi ya shule
Wanafunzi waliofanya vizuri na kushika nafasi ya pili katika mtihani wa hedhi salama na ukuaji walizawadiwa madaftari ya shule, pencils na vifutio.
Mgeni rasmi Dr. Wonanji akimkabidhi mwanafunzi Nice Lyatuu zawadi ya begi la shule, baada ya mwanafunzi huyo kufanya vizuri katika mtihani wa hedhi salama na kushika nafasi ya kwanza
Dr. Wonanji akikabidhi vyeti kwa wanafunzi waliohitimu mafunzo ya hedhi salama na ukuaji
0 comments:
Post a Comment