Monday, 25 January 2016

WANAFUNZI WA KIUME WAPOKEA PAMOJA CLUBS KWA SHAUKU KUBWA

 Dokta Aidat Mugula akizungumza na wanafunzi wa kiume walioonyesha shauku kubwa ya kutaka kuelewa zaidi juu ya maswala ya ukuaji
Bi Salma Welele, mwanafunzi kutoka chuo cha udaktari IMTU, akizungumza na mabinti juu ya ukuaji na hedhi salama, mabinti hawa pia hawakutaka kubaki nyuma kwa kuuliza maswali mbalimbali 
Wanafunzi waridhia kujaza form ya kukubali kujiunga na club ya Pamoja Tanzania ili waweze kujifunza kwa kina juu ya ukuaji na hedhi salama
Bi. Dinna Nyirenda, mwanafunzi kutoka chuo cha udaktari cha Kairuki na mlezi wa club akiongea na mabinti juu ya umuhimu wa kujiunga na Pamoja club hapo shuleni 
 Bi. Hyasintha Ntuyeko akiwasikiliza mabinti walipokua wakishirikisha uelewa wao juu ya maswala ya hedhi salama
Wanafunzi waki saini karatasi ya makubaliano kuonyesha utayari wao kujiunga na Pamoja Tanzania club shuleni hapo
 Dokta Aidat Mugula akisikiliza kwa makini maswali kutoka kwa wanafunzi wa kiume
Wanafunzi wakikimbilia mbele kuokota karatasi ili waweze kua moja kati ya wanafunzi watakao chaguliwa kuunda clubs shuleni hapo

 Picha ya pamoja na wanafunzi waliofanikiwa kuunda club ya Pamoja Tanzania




0 comments: