Thursday, 25 August 2016

WALIMU WATUNUKIWA VYETI HEDHI SALAMA

Baada ya kumaliza vyema mafunzo juu ya hedhi salama yaliyofanyika Moshi, Kasole Secrets Company Ltd na Msichana Initiative iliwatunuku vyeti vya uhitimu wakufunzi wote tayari kwa kwenda kufundisha watoto 500 wanaotegemewa kunufaika na mradi huu Moshi vijijini
 Afisa Elimu Afya na Lishe, Bi. Conjeta Kessy, akionesha cheti chake kwa furaha baada ya kuhudhuria kikamilifu mafunzo ya hedhi salama.
 Mwalimu Wilson Mrema kutoka Kidia secondary moja ya shule nufaika akipokea cheti chake baada ya kuhitimu mafunzo ya hedhi salama
 Mwalimu Prisca Mihayo kutoka Meli Secondary moja ya shule nufaika akipokea cheti chake baada ya kuhitimu mafunzo ya hedhi salama
 Mwalimu Anna Yohana kutoka shule ya msingi Mahoma moja ya shule nufaika akipokea cheti chake baada ya kuhitimu mafunzo ya hedhi salama

 Bwana Charles Mushi, mdau kutoka Shirika la Childreach akipokea cheti chake baada ya kuhitimu mafunzo ya hedhi salama
 Bi. Catherine Massawe, Mwanafunzi wa udaktari KCMC akipokea cheti chake baada ya kuhitimu mafunzo ya hedhi salama, Bi. Catherine anatarajiwa kwenda kufundisha Kidia Sekondari
 Bi. Harriet Sia mwanafunzi wa Udaktari KCMC akipokea cheti chake baada ya kuhitimu mafunzo ya hedhi salama, Bi. Harriet anatarajiwa kwenda kufundisha shule ya msingi Mahoma
Bwana. Ben Lepelali mwanafunzi wa udaktari KCMC akipokea cheti chake baada ya kuhitimu mafunzo ya hedhi salama, Bwana. Ben anatarajiwa kufundisha shule ya msingi Matemboni

0 comments: