Hili ni juma la 6 kati ya majuma 12 ambayo wanafunzi hawa wanatarajiwa kuhudhuria vipindi hivi vya hedhi salama na balehe, katika hili juma la 6 wanafunzi walifanya karakana ambapo waliwaalika wanafunzi wenzao ambao hawakupata nafasi ya kujiunga kwenye club, na badala yake hawa waliopata nafasi waliweza kuwafundisha wenzao yale yote waliyofundishwa ndani ya majuma 6 na kujibu maswali kwa usahihi kabisa bila uoga wala aibu, hii inaonyesha ni jinsi gani wanafunzi hawa wanavyoweza kua msaada kwa wanafunzi wenzao, ndugu na hata marafiki zao. Hongereni sana wafundishaji wetu wa kujitolea kutoka chuo cha Udaktari cha Mt. Francis-Ifakara
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
The Property of
Popular Posts
-
Bi Regina Kway, mwanafunzi wa udaktari katika chuo cha mtakatifu Francis kilichopo Ifakara-Morogoro, akiongea na wanafunzi wa sekondari k...
-
Bi. Hyasintha Ntuyeko akizungumza na mabinti katika moja ya shule ya secondary kambini Nyarugusu juu ya hedhi salama na balehe. M...
-
Mwanafunzi Dinna Nyirenda kutoka chuo cha Hubert Kairuki ambaye ni mfundashaji wa kujitolea katika programu ya hedhi salama na ...
-
Program ya hedhi salama ni moja kati ya program bora iliyochaguliwa kwenda kushiriki maonyesho yanayofanywa na Umoja wa wanafunzi wa vyuo...
-
Volunteers wa hedhi salama wakifanya presentation juu ya mchango wa jamii katika kufanikisha hedhi salama kwa watoto wa kike, mjadala ...
-
Ni wazi kwamba Serikali yetu ipo macho na wadau wa maendeleo pia wapo macho, katika kuona ni jinsi gani watakaa pamoja na kutafuta su...
-
Wanafunzi wa kike wakichota maji tayari kwa kuanza zoezi la usafi wa choo, ambalo ni moja kati ya zoezi muhimu katika mtaala wa hedhi sal...
-
Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wakifurahia vyeti vyao baada ya kufaulu vizuri mtihani wa hedhi salama na ukuaji uliopima uelew...
-
Mwalimu Prisca Mihayo, kutoka shule ya sekondari Meli iliyopo Moshi Vijijini akikagua kazi za vikundi walizopewa watoto katika kujadili...
Follow on Facebook
Blog Archive
-
▼
2016
(38)
-
▼
February
(9)
- WANAFUNZI WAWA WALIMU WA WANAFUNZI WENZAO KUHUSU H...
- HEDHI SALAMA MOJA KATI YA PROGRAM BORA , ILIYOCHAG...
- WAHAMASISHAJI WA MASWALA YA AFYA KATIKA KAMBI YA W...
- SHULE ZA WAKIMBIZI ZAPATA FURSA YA KUELIMISHWA JUU...
- WAKIMBIZI KAMBI YA NYARUGUSU WAPATA FURSA YA KUONG...
- WANAFUNZI IFAKARA HATUJA WAACHA NYUMA
- WANAFUNZI DAR-ES-SALAAM WAVUNJA UKIMYA KWA KISHIND...
- REGINA KWAY AVUNJA UKIMYA IFAKARA
- DINNA NYIRENDA AHAMASISHA WANAFUNZI KUVUNJA UKIMYA
-
▼
February
(9)
0 comments:
Post a Comment