Wanafunzi wa kiume waisafisha vyoo vyao, ikiwa ni moja ya shughuli zilizopangwa katika club ya Pamoja
Mwanafunzi wa kike katika Pamoja club akisafisha choo, ikiwa ni moja ya shughuli zilizopangwa ndani ya Pamoja club
Wanafunzi wote wakike kwa wakiume ndani ya Pamoja Club wakichota maji tayari kwa shughuli za usafi kuanza
Wanafunzi wa Pamoja Club wakinawa mikono mara baada ya zoezi la usafishaji choo kumalizika
Wanafunzi wote wa club ya Pamoja Tanzania, wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumaliza zoezi la kusafisha choo, hongereni sana wakufunzi wetu, Lilian Benjamin (Hubert Kairuki) na Deusi Kapufi (KAM)
0 comments:
Post a Comment