Friday, 12 February 2016

SHULE ZA WAKIMBIZI ZAPATA FURSA YA KUELIMISHWA JUU YA HEDHI SALAMA

Bi. Hyasintha Ntuyeko akizungumza na mabinti katika moja ya shule ya secondary kambini Nyarugusu juu ya hedhi salama na balehe.
Mabinti wakitoa michango yao juu ya uelewa wao kuhusu balehe na hedhi salama na pia waliweza kuzungumzia juu ya njia mbalimbali wanazozitumia katika kujisitiri na hedhi wakiwa shuleni
Bi. Hyasintha Ntuyeko akisikiliza mijadala ya hedhi salama, iliyokua inafanywa na mabinti katika vikundi vidogo vidogo
Mama Letcia Lyogello akisimamia mijadala midigo midogo katika vikundi iliyokua inafanywa na mabinti shuleni hapo juu ya hedhi salama


Wanafunzi wa kike wakifanya kazi kwa Pamoja katika Vikundi
Wanafunzi wakiwakilisha mijadala yao, baada ya kumaliza kujadiliana katika vikundi walivyokua wamepangwa
Picha ya pamoja na wanafunzi baada ya kumaliza semina ya hedhi salama



0 comments: