Program ya hedhi salama ni moja kati ya program bora iliyochaguliwa kwenda kushiriki maonyesho yanayofanywa na Umoja wa wanafunzi wa vyuo vya udaktari duniani,( IFMSA) maonyesho haya yatafanyika Malta nchini Netherlands, hongera sana timu ya wanafunzi wa udaktari nchini Tanzania(TAMSA), kwa kujitolea kwa moyo na akili zote kuwafundisha wanafunzi kuhusiana na hedhi salama pamoja na balehe, Kazi yenu nzuri imezaa matunda, Kwa mujibu wa TAMSA hii ni mara yao ya kwanza kwenda katika Tamasha hili wakiwa na kazi ya kijamii ya kuonyesha.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
The Property of
Popular Posts
-
Bi Regina Kway, mwanafunzi wa udaktari katika chuo cha mtakatifu Francis kilichopo Ifakara-Morogoro, akiongea na wanafunzi wa sekondari k...
-
Bi. Hyasintha Ntuyeko akizungumza na mabinti katika moja ya shule ya secondary kambini Nyarugusu juu ya hedhi salama na balehe. M...
-
Program ya hedhi salama ni moja kati ya program bora iliyochaguliwa kwenda kushiriki maonyesho yanayofanywa na Umoja wa wanafunzi wa vyuo...
-
Mwanafunzi Dinna Nyirenda kutoka chuo cha Hubert Kairuki ambaye ni mfundashaji wa kujitolea katika programu ya hedhi salama na ...
-
Volunteers wa hedhi salama wakifanya presentation juu ya mchango wa jamii katika kufanikisha hedhi salama kwa watoto wa kike, mjadala ...
-
Mwalimu Prisca Mihayo, kutoka shule ya sekondari Meli iliyopo Moshi Vijijini akikagua kazi za vikundi walizopewa watoto katika kujadili...
-
Jo Rees, nurse mbobezi katika elimu ya afya ya uzazi akiendesha mafunzo ya wakufunzi wa Hedhi Salama katika kijiji cha Ifakara kilichopo...
-
Dean of studies kutoka chuo cha udaktari cha Mt. Francis akifungua rasmi mdahalo wa hedhi salama chuoni hapo, mdahalo uliowahusisha ...
-
Ni wazi kwamba Serikali yetu ipo macho na wadau wa maendeleo pia wapo macho, katika kuona ni jinsi gani watakaa pamoja na kutafuta su...
Follow on Facebook
Blog Archive
-
▼
2016
(38)
-
▼
February
(9)
- WANAFUNZI WAWA WALIMU WA WANAFUNZI WENZAO KUHUSU H...
- HEDHI SALAMA MOJA KATI YA PROGRAM BORA , ILIYOCHAG...
- WAHAMASISHAJI WA MASWALA YA AFYA KATIKA KAMBI YA W...
- SHULE ZA WAKIMBIZI ZAPATA FURSA YA KUELIMISHWA JUU...
- WAKIMBIZI KAMBI YA NYARUGUSU WAPATA FURSA YA KUONG...
- WANAFUNZI IFAKARA HATUJA WAACHA NYUMA
- WANAFUNZI DAR-ES-SALAAM WAVUNJA UKIMYA KWA KISHIND...
- REGINA KWAY AVUNJA UKIMYA IFAKARA
- DINNA NYIRENDA AHAMASISHA WANAFUNZI KUVUNJA UKIMYA
-
▼
February
(9)
0 comments:
Post a Comment