Tuesday, 23 February 2016

HEDHI SALAMA MOJA KATI YA PROGRAM BORA , ILIYOCHAGULIWA KUPELEKA MWAKILISHI MALTA-NETHERLANDS

Program ya hedhi salama ni moja kati ya program bora iliyochaguliwa kwenda kushiriki maonyesho yanayofanywa na Umoja wa wanafunzi wa vyuo vya udaktari duniani,( IFMSA) maonyesho haya yatafanyika Malta nchini Netherlands, hongera sana timu ya wanafunzi wa udaktari nchini Tanzania(TAMSA), kwa kujitolea kwa moyo na akili zote kuwafundisha wanafunzi kuhusiana na hedhi salama pamoja na balehe, Kazi yenu nzuri imezaa matunda, Kwa mujibu wa TAMSA hii ni mara yao ya kwanza kwenda katika Tamasha hili wakiwa na kazi ya kijamii ya kuonyesha.

0 comments: