Sunday, 6 November 2016

Wanafunzi Moshi vjijini wafanya mitihani kuhitimisha program ya Hedhi Salama

 Mradi wa hedhi salama katika wilaya ya Moshi vijijini umefikia tamati, wanafunzi wafanya mitihani kupima uelewa wa kile walichofundishwa kwa kipindi chote cha week 12. Mradi huu umetekelezwa na mashirika ya Kasole Secrets na Msichana Initiative kwa ufadhili wa ubalozi wa Marekani

0 comments: