Tuesday, 26 July 2016

WANAFUNZI TAMSA WAFANYIWA USAHILI KUENDESHA HEDHI SALAMA CAMPAING












Mradi wa hedhi salama umepata ufadhili wa kuweza kufanyika katika shule nne ( 2- za msingi na 2 za sekondary) katika wilaya ya moshi vijijini, mradi huu ni wa pamoja katika utekelezaji ambapo katika shule za sekondary utasimamiwa na company ya Kasole secrets na katika shule za msingi shirika la Msichana Initiative litasimamia . Mradi huu unalenga kuwawezesha pia wanajumuiya/wanajamii wa Moshi kwa kuwapatia ujuzi wa kuendesha program hii ya hedhi salama hata baada ya muda wa ufadhili kuisha, hivyo tunatarajia kutrain wanafunzi wa masomo ya udaktari kutoka KCMC-Moshi ( TAMSA), Walimu wanne kutoka katika shule faidika na afisa mratibu wa afya shuleni.

0 comments: