Wednesday, 20 July 2016

WSSCC NATIONAL CONSULTATION MEETING IN TANZANIA

WATER SUPPLY & SANITATION COLLABORATION COUNCIL (WSSCC) yawakutanisha wadau mbalimbali nchini Tanzania kujadili changamoto mbalimbli zinazoikumba nchi katika sector ya maji, sanitation and hygiene. Mdahalo huu uliwahusisha pia wadau kutoka Wizara ya maji, wizara ya afya, wizara ya elimu na TAMISEMI. Warsha hii ilitoa muelekeo wa pamoja kwa wadau na serikali katika kufanikisha tunatekeleza Suistanable Development Goal (SDG)

0 comments: