Muongozo wa mafunzo juu ya hedhi salama na ukuaji sasa umeongeza wigo kwa kutumika pia Moshi, mbali na hapo awali ulipokua ukitumika Dar-es-salaam na Ifakara. Muongozo huu ambao umeandiwa na muuguzi Jo Rees na kuweza kufanya vizuri sana katika shule za msingi na za sekondary nchini Ethiopia, kampuni ya Kasole secrets iliona ni vyema kuutumia pia muongozo huo katika program zao za hedhi salama nchini Tanzania. Bi Hyasintha Ntuyeko anasema ni mwaka sasa tangu waanze kuutumia muongozo huo, ambao ulitokea kupendwa sana na wanafunzi na walimu pia. Sasa muongozo huo utatumiwa tena kufundishia shule za moshi vijijini ambapo shirika la Msichana Inititive, Childreach na Tuleane watafundishwa jinsi ya kuutumia muongozo huu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
The Property of
Popular Posts
-
Bi Regina Kway, mwanafunzi wa udaktari katika chuo cha mtakatifu Francis kilichopo Ifakara-Morogoro, akiongea na wanafunzi wa sekondari k...
-
Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wakifurahia vyeti vyao baada ya kufaulu vizuri mtihani wa hedhi salama na ukuaji uliopima uelew...
-
Mwalimu Prisca Mihayo, kutoka shule ya sekondari Meli iliyopo Moshi Vijijini akikagua kazi za vikundi walizopewa watoto katika kujadili...
-
Mwanafunzi Dinna Nyirenda kutoka chuo cha Hubert Kairuki ambaye ni mfundashaji wa kujitolea katika programu ya hedhi salama na ...
-
Wanafunzi wa kike wakichota maji tayari kwa kuanza zoezi la usafi wa choo, ambalo ni moja kati ya zoezi muhimu katika mtaala wa hedhi sal...
-
Mradi wa hedhi salama umepata ufadhili wa kuweza kufanyika katika shule nne ( 2- za msingi na 2 za sekondary) katika w...
-
Program ya hedhi salama ni moja kati ya program bora iliyochaguliwa kwenda kushiriki maonyesho yanayofanywa na Umoja wa wanafunzi wa vyuo...
-
Wanafunzi Bravo sekondari wakifurahia vyeti vyao walivyotunukiwa baada ya kuhitimu mafunzo ya hedhi salama na ukuaji yaliyotolewa kwa mud...
-
Dokta Aidat Mugula akizungumza na wanafunzi wa kiume walioonyesha shauku kubwa ya kutaka kuelewa zaidi juu ya maswala ya ukuaji B...
0 comments:
Post a Comment