Muongozo wa mafunzo juu ya hedhi salama na ukuaji sasa umeongeza wigo kwa kutumika pia Moshi, mbali na hapo awali ulipokua ukitumika Dar-es-salaam na Ifakara. Muongozo huu ambao umeandiwa na muuguzi Jo Rees na kuweza kufanya vizuri sana katika shule za msingi na za sekondary nchini Ethiopia, kampuni ya Kasole secrets iliona ni vyema kuutumia pia muongozo huo katika program zao za hedhi salama nchini Tanzania. Bi Hyasintha Ntuyeko anasema ni mwaka sasa tangu waanze kuutumia muongozo huo, ambao ulitokea kupendwa sana na wanafunzi na walimu pia. Sasa muongozo huo utatumiwa tena kufundishia shule za moshi vijijini ambapo shirika la Msichana Inititive, Childreach na Tuleane watafundishwa jinsi ya kuutumia muongozo huu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
The Property of
Popular Posts
-
Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wakifurahia vyeti vyao baada ya kufaulu vizuri mtihani wa hedhi salama na ukuaji uliopima uelew...
-
Mwalimu Prisca Mihayo, kutoka shule ya sekondari Meli iliyopo Moshi Vijijini akikagua kazi za vikundi walizopewa watoto katika kujadili...
-
Dokta Aidat Mugula akizungumza na wanafunzi wa kiume walioonyesha shauku kubwa ya kutaka kuelewa zaidi juu ya maswala ya ukuaji B...
-
Mwanafunzi kutoka shule ya msingi Matemboni, akimuonyesha mganga mkuu wa wilaya ya Moshi, Dr. Wonanji, pamoja na jopo lake jinsi ya kuten...
-
Wanafunzi wa kike wakichota maji tayari kwa kuanza zoezi la usafi wa choo, ambalo ni moja kati ya zoezi muhimu katika mtaala wa hedhi sal...
-
Mwanafunzi Dinna Nyirenda kutoka chuo cha Hubert Kairuki ambaye ni mfundashaji wa kujitolea katika programu ya hedhi salama na ...
-
Katika mafunzo ya wakufunzi juu ya hedhi salama mradi unaofadhiliwa na ubalozi wa Marekani nchini Tanzania na kutekelezwa na Kampuni ya ...
-
Jo Rees, nurse mbobezi katika elimu ya afya ya uzazi akiendesha mafunzo ya wakufunzi wa Hedhi Salama katika kijiji cha Ifakara kilichopo...
-
Mkurugenzi wa chuo cha Ualimu, bwana Justin Francis akimkaribisha mgeni rasmi Bi. Hyasintha Ntuyeko katika Mkutanano wa Kitaifa wa walim...
-
Ni wazi kwamba Serikali yetu ipo macho na wadau wa maendeleo pia wapo macho, katika kuona ni jinsi gani watakaa pamoja na kutafuta su...
0 comments:
Post a Comment