Wiki ya usafi wa mazingira nchini ilitoa kipaumbele katika hedhi salama na kubeba ujumbe wa kitaifa wenye kusisitiza huduma ya vyoo bora kwa kuzingatia mahitaji ya jinsia na umuhimu wake katika Hedhi Salama.
Dr. Ayoub Mgimba, Chief Medical Officer akifungua rasmi wiki ya usafi wa mazingira nchini
Bibi Rehema Puluma akitoa maoni yake juu ya kauli mbiu ya wiki ya usafi wa mazingira
Mheshimiwa Stella Ikupa, mbunge akitoa ufafanuzi juu ya nini kifanyike ili mahitaji ya kijinsia yaweze kua na tija katika ujenzi wa vyoo.
Bi. Rebeca Budimu kutoka UNICEF pia akitoa maoni yake juu ya wiki ya usafi wa mazingira
Jo Rees, Menstrual Hygiene expert trainer from Australia akielezea juu ya njia mbalimbali zilizoweza kufanikiwa vizuri nchini Ethiopia ambapo yeye mwenyewe aliweza kufanya kazi na wazawa.
Bi. Blandina akielezea changamoto mbalimbali zinazowakumba walemavu wa viungo kiasi cha kushindwa kabisa kujisitiri wakati wa hedhi.
Dr. Malebo akitoa matokeo ya tafiti mbalimbali zilizofanywa juu ya Hedhi Salama nchini Tanzania
Bi. Kimberly Height kutoka shirika la TWESA akielezea changamoto mbalimbali zinazowakumba wakimbizi katika kukabiliana na Hedhi Salama
Bi. Rehema Puluma akielezea changamoto mbalimbali zinazowakumba wasioona katika kukabiliana na Hedhi Salama
Mmoja wa washiriki wa mdahalo huu akiuliza swali
Mdau wa Hedhi Salama akiuliza swali pia
0 comments:
Post a Comment