Saturday, 10 September 2016

Programu ya Hedhi Salama yafunguliwa rasmi- Moshi vijijini

 Wanafunzi wa shule ya Sekondari Meli wakisikiliza kwa makini ufunguzi wa program ya hedhi salama uliofanyika shuleni hapo
 Wanafunzi shule ya msingi Matemboni wakisikiliza kwa umakini ufunguzi wa programu ya hedhi salama
 Mwalimu mkuu shule ya secondari Meli akifungua rasmi program ya hedhi salama itakayofanyika katika shule nne, wilayani Moshi vijijini chini ya msaada wa ubalozi wa Marekeni nchini Tanzania
 Afisa Elimu, Moshi Vijijini, Bi. Conjeta Kessy akisisitiza umuhimu wa walimu wa afya katika shule hizi nne zitakazonufaika na mradi, kufuatilia programu hii ya hedhi salama kwa karibu, ili waweze kuindeleza vyema baada ya mradi kumalizika
Dr. Aidat Mugula, kutoka Kasole Secrets, ambae pia ni mfundishaji wa program ya hedhi salama kwa wanafunzi wa masomo ya udaktari nchini, akizungumza na wanafunzi wa shule za Matemboni na Meli katika ufunguzi wa programu shuleni hapo
 Rebeca Gyumi, Mkurugenzi wa taasisi ya Msichana Initiative, ambao pia ni watekelezaji wa programu ya hedhi salama katika shule za msingi Moshi vijijini akiongea na wanafunzi wa shule za Matemboni na Meli wakati wa ufunguzi

Picha ya pamoja na wazazi waliohudhuria ufunguzi wa programu ya hedhi salama
 Picture ya pamoja na baadhi ya wanafunzi katika ufunguzi wa programu ya hedhi salama moshi vijijini
Picture ya pamoja na walimu na volunteers kutoka KCMC katika sherehe za ufunguzi wa programu ya hedhi salama Moshi vijijini

0 comments: