Thursday, 21 April 2016

KAMPUNI YA KASOLE YAUNGWA MKONO NA WADAU MBALIMBALI KATIKA KUJIANDAA KUSHEREHEKEA SIKU KUU YA HEDHI SALAMA


Pongezi nyingi mno kwa wadau hawa ambao wameona uhitaji wa wanawake/mabinti hasa katika kuhakikisha wanaweza kujisitiri katika hali ya usafi na usalama wakati wowote na popote bila kudhalilika

0 comments: