Monday, 23 January 2017

Maafisa jamii 40 kutoka shirika la Kimataifa la Compassion Tanzania wapatiwa mafunzo ya Hedhi Salama

 Program ya mafunzo ya Hedhi Salama iliruhusu mijadala midogo ya vikundi ambapo kila kundi lilipatiwa nafasi ya kuwakilisha mijadala hiyo na kuchangiwa na wakufunzi wenzao.
 Michezo ni moja kati ya zana muhimu mno katika kujifunza
 Kundi lingine la wakufunzi wakiwasilisha mada yao ambayo pia ilitoa nafasi kwa wakufunzi wengine kuchangia mada
 Wakufunzi wakisikiliza kwa makini maelekezo waliyokua wakipatiwa
 Bi. Hyasintha Ntuyeko, Mkurugenzi mtendaji wa Kasole Secrets akiongoza moja ya mada katika mafunzo ya Hedhi Salama
 Wakufunzi wakijifunza jinsi ya kutengeneza pedi za kufua, ikiwa ni moja ya sehemu ya mafunzo ya Hedhi Salama
 Wakufunzi wakiume wakifurahia zoezi la kutengeneza pedi za kufua
 Bi Zuhura akitengeneza pedi ya kufua
 Wakufunzi wakitengeneza pedi za kufua katika darasa la mafunzo ya Hedhi Salama
Wakufunzi wakifurahia bidhaa ya pedi ya kufua waliyoitengeneza wakati wa mafunzo ya Hedhi Salama