Sunday, 7 June 2015

TANZANIA YAADHIMISHA SIKU YA HEDHI SALAMA DUNIANI, 28TH MAY 2015


 Wanafunzi na washiriki wengine wakiwa wamekusanyika Wizara ya Elimu tayari kwa kusubiri kuanza maandamano jijini Dar-es-salaam

 Band ya police ikiyapamba maandamano hayo ya siku ya hedhi salama, yaliyofanyika jijini Dar-es-salaam, 28th Mei 2015
 Waudhuriaji mbalimbali waliokuja kuadhimisha siku ya hedhi salama duniani
 Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Kasole Secrets, ambao pia ni waandaaji wa siku hii ya hedhi salama duniani, akiwashukuru wadau mbalimbali ambao walifanikisha siku hii kuadhimishwa kitaifa, alitoa shukrani zake kwa WIZARA YA ELIMU, WIZARA YA AFYA, WATER AID, SNV, UNICEF, ACCRACS, WSSCCS, SAWA, HELP TO KIDS, JHM & PPF
 Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Kasole Secrets Bi. Hyasintha Ntuyeko akikabidhi zawadi kwa Mheshimiwa Mgeni Rasmi, kutoka Wizara ya Elimu, Mama Madina Kemilembe
  Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Kasole Secrets Bi. Hyasintha Ntuyeko akikabidhi zawadi kwa Mheshimiwa mwakilishi wa NGOs zote zilizoshiriki katika kufanikisha tukio hili, kutoka Water aid (Country Director), Dr. Ibrahimu Kabole

 Kampuni ya TanManagement Insurance brokers ilidhamini Glory pads kugawiwa bure kwa wanafunzi wote waliohudhuria ikiwa ni moja ya kufanikisha sherehe hizi za hedhi salama Tanzania




 Makampuni na Mashirika mbalimbali yakionyesha bidhaa zao na kazi mbalimbali wanazofanya, katika viwanja vya mnazi mmoja katika maadhimisho ya siku ya hedhi duniani

 Kauli Mbiu ya mwaka 2015
Wanafunzi wakiendelea kugawiwa Glory pads ikiwa ni moja ya kusherehekea siku ya hedhi duniani

0 comments: