Wanafunzi na washiriki wengine wakiwa wamekusanyika Wizara ya Elimu tayari kwa kusubiri kuanza maandamano jijini Dar-es-salaam
Band ya police ikiyapamba maandamano hayo ya siku ya hedhi salama, yaliyofanyika jijini Dar-es-salaam, 28th Mei 2015
Waudhuriaji mbalimbali waliokuja kuadhimisha siku ya hedhi salama duniani
Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Kasole Secrets, ambao pia ni waandaaji wa siku hii ya hedhi salama duniani, akiwashukuru wadau mbalimbali ambao walifanikisha siku hii kuadhimishwa kitaifa, alitoa shukrani zake kwa WIZARA YA ELIMU, WIZARA YA AFYA, WATER AID, SNV, UNICEF, ACCRACS, WSSCCS, SAWA, HELP TO KIDS, JHM & PPF
Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Kasole Secrets Bi. Hyasintha Ntuyeko akikabidhi zawadi kwa Mheshimiwa Mgeni Rasmi, kutoka Wizara ya Elimu, Mama Madina Kemilembe
Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Kasole Secrets Bi. Hyasintha Ntuyeko akikabidhi zawadi kwa Mheshimiwa mwakilishi wa NGOs zote zilizoshiriki katika kufanikisha tukio hili, kutoka Water aid (Country Director), Dr. Ibrahimu Kabole
Kampuni ya TanManagement Insurance brokers ilidhamini Glory pads kugawiwa bure kwa wanafunzi wote waliohudhuria ikiwa ni moja ya kufanikisha sherehe hizi za hedhi salama Tanzania
Makampuni na Mashirika mbalimbali yakionyesha bidhaa zao na kazi mbalimbali wanazofanya, katika viwanja vya mnazi mmoja katika maadhimisho ya siku ya hedhi duniani
Kauli Mbiu ya mwaka 2015
Wanafunzi wakiendelea kugawiwa Glory pads ikiwa ni moja ya kusherehekea siku ya hedhi duniani
0 comments:
Post a Comment