Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Kasole Secrets, na waandaaji wa siku ya hedhi duniani, Hyasintha Ntuyeko, akifungua mkutano na waandishi wa habari, tar 21 May 2015, katika ukumbi wa wizara ya afya.
Msemaji wa Serikali Bibi Theresia Kuwite kutoka wizara ya elimu akifafanua zaidi kuhusu siku ya hedhi duniani, inayotarajiwa kufanyika tar 28 May mwaka huu, kwa mara ya kwanza, maandamano yataanzia Wizara ya Elimu saa mbili kamili asubuhi, na yanatariwa kuongozwa na Mheshimiwa naibu waziri wa Elimu, Mama Anna Malecela Kilango, pembeni ni msemaji kutoka shirika la Water aid, akiwakilisha mashirika yote ambayo yameshiriki katika kufanikisha sherehe hizi,mashirika hayo ni UNICEF, SNV, ACCRACC, WSSCC, WATER AID, SAWA, JHM & HELP TO KIDS
Picha ya pamoja baada ya mjadala huo kumalizika.